
Zilianza kuandikwa siku ya May 17 2016 baada ya mastaa wawili kutoka kiwanda cha bongoflevani kurushiana maneno katika post zao walizozipost kwenye mtandao wa Instagram, Stori ilianzia kwenye Picha, lakini this time kila moja ameongea.Baada ya Shilole na Vanessa Mdee kurushiana Maneno kupitia Picha zao kila mmoja kwa time yake amezungumza na nakufunguka haya..Vanessa Mdee alifunguka maneno haya>>Nadhani nimeshasema kilakitu ambacho kinahitaji kusemwa kama umesoma post yangu utakuwaumeshaelewa kama hujasoma sawa sihitaji kurudia kitu’Shilole na yeye kuyafunguka haya>>’acha nimnyooshe kapanic kuona Say my name imetoka na mimi kuzinguliwa sitaki kuna mahalikaenda kuniongelea vibaya na asitamani kuonana na Shishi atatamani kuadithia vibao nilivyokuwa natoa somewhere
posted from Bloggeroid
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni