Ukwaju ni tunda lenye faida nyingi sana kwa afya ya mwanadamu.
Ukwaju ni tunda lenye faida nyingi sana kwa afya ya mwanadamu. Tunda hili linatumika kutengeneza juisi ambayo matumizi yake yana faida kubwa sana kiafya.
Faida ya juisi ya ukwaju
Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, hasa homa ya matumbo .
Huulinda mwili dhidi ya mafua
Husaidia myeyusho na mmengenyo wa chakula
Husaidia kutibu matatizo ya nyongo
Husaidia kurahisisha choo (laxative)
Husaidia kupunguza wingi wa lehemu (cholesterol) na kuimarisha moyo
Husaidia ngozi kuwa nyororo,
Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa watoto wadogo)
kwa wanaofanyiwa oparation ni nzuri sana inakausha kidonda kwa ndani kwa haraka .
Ijumaa, 13 Machi 2015
Faida ya juisi ya ukwaju
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni