kwa tasnia ya muziki wa kizazi kipya
nchini.
Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini Tanzania
Moses Bushagama maarufu kwa jina la Mez B
ambaye alikuwa muimbaji katika kundi la Chamber
Squard,inaelezwa kuwa amefariki Dunia leo asubuhi
wakati amelazwa katika hospitali ya mwananchi
mjini Dodoma akipatiwa matibabu.
Akizungumza baada ya kupigiwa simu Dada wa Mez
B amethibitisha kifo cha kaka yake ambapo
amesema ni muda hivi amekuwa akisumbuliwa wa
homa pamoja na tatizo la kuishiwa Damu na hivyo
walimpeleka katika hospitali ya GENERAL ambapo
hadi jana hali yake haikuwa mbaya sana leo ndio
kafikwa na umauti.Endelea kufuatilia taarifa zetu
tutakujuza.
kwa tasnia ya muziki wa kizazi kipya
nchini.
Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini Tanzania
Moses Bushagama maarufu kwa jina la Mez B
ambaye alikuwa muimbaji katika kundi la Chamber
Squard,inaelezwa kuwa amefariki Dunia leo asubuhi
wakati amelazwa katika hospitali ya mwananchi
mjini Dodoma akipatiwa matibabu.
Akizungumza baada ya kupigiwa simu Dada wa Mez
B amethibitisha kifo cha kaka yake ambapo
amesema ni muda hivi amekuwa akisumbuliwa wa
homa pamoja na tatizo la kuishiwa Damu na hivyo
walimpeleka katika hospitali ya GENERAL ambapo
hadi jana hali yake haikuwa mbaya sana leo ndio
kafikwa na umauti.Endelea kufuatilia taarifa zetu
tutakujuza.