Jeshi la polisi mkoani Tanga limesema linafanya
uchunguzi wa kina kuhusu tukio la vikundi vya
uhalifu kuweka kambi katika mapango ya mleni maji
moto yaliyopo eneo la amboni jijini Tanga kufuatia
sehemu kubwa ya wananchi kulihusisha tukio hilo
na vitendo vya ugaidi hatua ambayo inawapa hofu
wananchi kuhusu usalama wao.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni