Jumamosi, 24 Januari 2015

MANCHESTEN UNITED YATOKA SARE NA KLABU YA LIGI DALAJA LA PILI


Mkufunzi wa Manchester United Louis Van Gaal
amesema kuwa kila kitu kilikwenda kinyume na
matarajio ya timu hiyo wakati wa sare ya 0-0 dhidi
ya timu ya Cambridge United katika kombe la FA
raundi ya nne.
Radamel Falcao na Angel Di Maria wote walikosa
mabao katika uga wa Abbey.
Lakini kikosi cha Van Gaal kilishindwa kuibwaga
miamba hiyo ya ligi ya daraja la pili na kulazimika
kukutana nao tena nyumbani Old Trafford.
''Kila kitu kilikwenda kinyume na matarajio yetu,si
uwanja refa ...yani kila kitu'',alisema Van Gaal.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni