Jumamosi, 24 Januari 2015

Waziri wa nishati na madini profesa Sospeter Muhongo amejiuzulu kufuatia sakata la Escrow.


Waziri wa nishati na madini profesa Sospeter
Muhongo amejiuzulu kufuatia sakata la Escrow.

Professa Muhongo alitoa tanagazo hilo wakati wa
mkutano na vyombo vya habari.
Kujiuzulu kwake kunajiri baada ya kufutwa kazi
kwa waziri wa Ardhi na kujiuzulu kwa mwanasheria
mkuu ,wote wakiwa wamehusishwa na kutolewa
kwa zaidi ya dola milioni 120 kutoka kwa benki
kuu ya taifa hilo kupitia mazingira ya kutatanisha.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni