Jumapili, 25 Januari 2015

serekali imesema itawachukulia shelia kari wavuvi halam


Serikali imesema itawachukulia hatua za kisheria
wanaojihusisha na uvuvi haramu unaochangia
kuharibu mazalia ya viumbe vya bahari na
uharibifu wa mazingira.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Mheshimiwa SANING'O OLE TELELE a mesema
mjini Mtwara uvuvi wa kutumia baruti unapaswa
kupigwa vita kwa nguvu zote na hatua za kisheria
zinapaswa kuchukuliwa kwa wanaofanya hivyo ili
kulinda mazingira ya bahari na viumbe vyake.
Mheshimiwa OLE TELELE ametoa onyo hilo baada
ya kupewa taarifa na wahifadhi wa bahari juu ya
vitendo vya uharibifu wa mazingira vinavyofanywa
na wavuvi.
Katika taarifa yake Mhifadhi Mkuu wa Bahari
Ghuba ya Mnazi Bay na Mto Ruvuma Bwana
REDFRED NGOW amesema uchumi wa wakazi wa
pwani ya Mtwara unategemea bahari,lakini watu
wachache wamekuwa wakivuruga chanzo hicho.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni